Weka na kutoa pesa for the bettor.

Ukiwa na 10bet™, unaweza kuweka na kutoa pesa ulizoshinda kwenye akaunti yako kwa urahisi. Kupitia ushirikiano wetu na baadhi ya watoa huduma wa malipo wanaotambulika katika sekta hii, tunaweza kuwapa wateja wetu malipo ya haraka na salama, bila kujali Mtandao wako wa Simu.

Weka Pesa
Toa Pesa
Tigo
Kuweka pesa kwa mtandao Down arrow

Tigo Pesa — Njia ya kuweka pesa kwa mtandao wa tigo pesa kwenye akaunti yako ya 10bet.

Ada: Inategemeana na viwango vya mtandao husika

Muda wa Mchakato: Papo hapo

Kima cha Chini: TZS 100

Kima cha Juu: TZS 10,000,000

Kuweka pesa kwa kutumia Tigo njia ya mtandao:

Baada ya kuingia kwenye akaunti yako,

  1. Upande wa juu bofya kitufe kilicho andikwa "Weka Pesa".
  2. Utachagua mtandao wako husika ambao ni Tigo (Muhimu)
  3. Utaandika kiasi cha pesa unachohitaji kuweka (kiwango cha chini ni 100/=)
  4. Bofya “Weka Pesa”
  5. Weka Namba ya siri punde tu kidokezo kitakapotokea

Kwenye simu yako utapokea ujumbe, utaweka namba ya siri kuthibitisha muamala. Salio la akaunti yako ya 10Bet litaongezeka moja kwa moja.

Tigo Paybill
Kuweka pesa kwa namba ya kampuni

Hii ni Njia ya menu ya USSD ya tigo pesa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya 10bet.

Tigo/Zantel

  1. Piga *150*01#
  2. Chagua 4 - Lipia bili
  3. Chagua 3 - Weka namba ya kampuni
  4. Weka namba ya kampuni - 335599
  5. Weka namba ya kumbukumbu - Namba yako ya simu uliyojisajili 10bet
  6. Weka kiasi cha pesa -kima cha chini 100
  7. Weka Namba yako ya siri ya Tigo Pesa kuthibitisha
Airtel
Kuweka pesa kwa mtandao

Airtel — Njia ya kuweka pesa kwa mtandao kupitia airtel money kwenye akaunti yako ya 10bet.

Ada: Inategemeana na viwango vya mtandao husika

Muda wa Mchakato: hapo hapo

Kima cha Chini: TZS 100

Kima cha Juu: TZS 10,000,000

Kuweka pesa kwa kutumia Airtel njia ya mtandao:

Baada ya kuingia kwenye akaunti yako,

  1. Upande wa juu bofya kitufe kilicho andikwa "Weka Pesa".
  2. Utachagua mtandao wako husika ambao ni Airtel (Muhimu)
  3. Utaandika kiasi cha pesa unachohitaji kuweka (kiwango cha chini ni 100/=)
  4. Bofya “Weka Pesa”.

Kwenye simu yako utapokea ujumbe, utaweka namba ya siri kuthibitisha muamala. Salio la akaunti yako ya 10Bet litaongezeka moja kwa moja.

Airtel Paybill
Kuweka pesa kwa namba ya kampuni

Hii ni Njia ya menu ya USSD ya Airtel Money kuweka pesa kwenye akaunti yako ya 10bet.

Airtel

  1. Piga *150*60#
  2. Chagua 5 - Lipia Bili
  3. Chagua 6 - Bahati Nasibu
  4. Chagua 12 - 10bet
  5. Weka kiasi - kima cha chini 100
  6. Weka kumbukumbu namba ya malipo - Namba yako ya simu
  7. Ingiza namba yako ya siri ya Airtel money kuthibitisha
Vodacom M-Pesa
Kuweka pesa kwa mtandao

Vodacom — Njia ya kuweka pesa kwa mtandao kupitia M-Pesa kwenye akaunti yako ya 10bet.

Ada: Inategemeana na viwango vya mtandao husika

Muda wa Mchakato: hapo hapo

Kima cha Chini: TZS 100

Kima cha Juu: TZS 10,000,000

Kuweka pesa kwa kutumia M-Pesa njia ya mtandao:

Baada ya kuingia kwenye akaunti yako,

  1. Upande wa juu bofya kitufe kilicho andikwa "Weka Pesa".
  2. Utachagua mtandao wako husika ambao ni Vodacom (Muhimu)
  3. Utaandika kiasi cha pesa unachohitaji kuweka (kiwango cha chini ni 100/=)
  4. Bofya “Weka Pesa”.

Kwenye simu yako utapokea ujumbe, utaweka namba ya siri kuthibitisha muamala. Salio la akaunti yako ya 10Bet litaongezeka moja kwa moja.

Vodacom M-Pesa Paybill
Kuweka pesa kwa namba ya kampuni

Hii ni Njia ya menu ya USSD ya M-Pesa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya 10bet.

Vodacom

  1. Piga *150*00#
  2. Chagua 4 - Lipa kwa M-Pesa
  3. Chagua 4 - Weka namba ya kampuni - 335599
  4. Ingiza namba ya kumbukumbu - Namba yako ya simu uliyosajili 10bet
  5. Ingiza kiasi cha pesa -kima cha chini 100
  6. Weka namba yako ya siri ya M-Pesa
  7. Bofya 1 kuthibitisha muamala wako
  8. Pesa itaingia kwenye akaunti yako ya 10bet na utapokea ujumbe wa uthibitisho.
Tigo
Down arrow

Tigo Pesa — Njia ya kutoa pesa kwa mtandao Kwenda kwenye akaunti yako ya Tigo Pesa.

Ada: Hakuna

Muda wa Mchakato: Ndani ya dakika 5

Kima cha Chini: TZS 100

Kima cha Juu: TZS 10,000,000

To Withdraw using the Tigo Online withdraw method:

Baada ya kuingia kwenye akaunti yako,

  1. Upande wa juu kulia kwenye kona bofya alama ya kichwa/menu".
  2. Utachagua Toa Pesa
  3. Utachagua mtandao wako husika ambao ni Tigo (Muhimu)
  4. Utaandika kiasi cha pesa unachohitaji kutoa (kiwango cha chini ni 100/=)
  5. Bofya “Toa Pesa”.

Kwenye simu yako utapokea ujumbe wa muamala kuthibitisha pesa imeingia kwenye akaunti yako ya TIGO PESA. Salio la akaunti yako ya Tigo Pesa litaongezeka moja kwa moja.

Airtel

Airtel — Njia ya kutoa pesa kwa mtandao Kwenda kwenye akaunti yako ya Airtel Money.

Ada: Bure

Muda wa Mchakato: Ndani ya dakika 5

Kima cha Chini: TZS 100

Kima cha Juu: TZS 10,000,000

Kutoa pesa kwa njia ya mtandao Kwenda kwenye akaunti yako ya Airtel Money:

Baada ya kuingia kwenye akaunti yako,

  1. Upande wa juu kulia kwenye kona bofya alama ya kichwa/menu".
  2. Utachagua Toa Pesa
  3. Utachagua mtandao wako husika ambao ni Airtel (Muhimu)
  4. Utaandika kiasi cha pesa unachohitaji kutoa (kiwango cha chini ni 100/=)
  5. Bofya “Toa Pesa”.

Kwenye simu yako utapokea ujumbe wa muamala kuthibitisha pesa imeingia kwenye akaunti yako ya Airtel Money. Salio la akaunti yako ya Airtel Money litaongezeka moja kwa moja.

Vodacom M-Pesa

Vodacom — Njia ya kutoa pesa kwa mtandao Kwenda kwenye akaunti yako ya Vodacom M-Pesa.

Ada: Bure

Muda wa Mchakato: Ndani ya dakika 5

Kima cha Chini: TZS 100

Kima cha Juu: TZS 10,000,000

Kutoa pesa kwa njia ya mtandao Kwenda kwenye akaunti yako ya M-Pesa:

Baada ya kuingia kwenye akaunti yako,

  1. Upande wa juu kulia kwenye kona bofya alama ya kichwa/menu".
  2. Utachagua Toa Pesa
  3. Utachagua mtandao wako husika ambao ni Vodacom M-pesa (Muhimu)
  4. Utaandika kiasi cha pesa unachohitaji kutoa (kiwango cha chini ni 100/=)
  5. Bofya “Toa Pesa”.

Kwenye simu yako utapokea ujumbe wa muamala kuthibitisha pesa imeingia kwenye akaunti yako ya Vodacom M-pesa. Salio la akaunti yako ya M-Pesa litaongezeka moja kwa moja.