Shiriki kwenye kwenye jackpots tofauti kila siku upate mamilioni ya kitanzania kwa wataalamu wa soka Tanzania.
Unaweza cheza michezo minne tofauti- Jackpot ya mechi 4, jackpot ya mechi 6, Jackpot ya mechi 10 na jackpot ya mechi 13x – na ushinde pakubwa kuringana chaguzi sahihi ulizo chagua.
Hii ni jinsi ya kushiriki:
1. Nenda kwenye ukurasa wa
jackpots.
2. Chagua mchezo, weka chaguzi zako na weka bashiri yako.Kiasi cha chini cha ubashiri kinazidishwa na kila uchaguzi utakao ongeza kwa kila mechi moja. Mfano, dau la kawaida la jackpot ya mechi 10 ni TZS 400, na ukichagua matokeo 2 kati ya 3 kwenye mechi moja wapo, dau lako litaongezeka mara 2 na kuwa 800 na kuendelea.
3. Soma sheria zote kwenye ukurasa, na ushinde jackpot yote au sehemu ya jackpot inavyoonekna kwa kila mchezo endapo utatabiri mech izote kwa usahihi, na inategemeana na idadi ya washindi waliotabiri zote kwa usahihi pia.
4. Dau la ushindi linakusanwa na washiriki wote kutoka nchi 6 tofauti za Africa. Zaidi ya TZS Bilioni 6 kutolewa kila mwezi kutoka kwenye michezo tote!
Usisubiri zaidi- weka bashiri zako sasa! Unaweza kuwa mshindi mkubwa nayefuata!